MTUHUMIWA WA MAUAJI YA PADRI EVALIST MUSHI AKAMATWA ZANZIBAR



Jeshi la polisi linamshikilia Omari Musa Mkame Mkazi wa Mwanakwerekwe Zanziba anaye sadikiwa kuwa ni muuaji wa padre Evalist Mushi. Amekamatwa alasiri hii maeneo ya Kariakoo, Zanzibar.

Ni kwa msaada wa mchoro wa mfano wa muhusika ulioachorwa na FBI.


Post a Comment

Previous Post Next Post