Watu 17 wauawa katika mapigano Jamuhuri ya Afrika ya Kati

 
Takriban watu kumi na saba waliuawa katika makabiliano yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati.
Hii ni kwa mujibu wa shirika la msalaba mwekundu, Red Cross.

Mapigano yalizuka baada ya waasi wa zamani waliokuwa wanashika doria katika Ikulu ya rais aliyeondolewa mamlakani Francois Bozize kushambuliwa. Msemaji wa serikali mpya alisema kuwa …read more
Source: BBC SWAHILI

Post a Comment

أحدث أقدم