
''Me
cjui hizo picha zilisambaa vipi sababu izo picha zilikuwepo kwenye
camera yangu na mimi cku hiyo nilikuwa nimelewa, i was drunk sikuwa
naelewa chochote na nilikuwa south Africa kwa hiyo maswala ya kuandika
habari za uongo eti nimeenda south kuuza ,me sina dhiki ya kufikia kuuza
mwili wangu eti nipate pesa"na ,picha niliyopiga siyo ya uchi ile hata
nikikuonesha,nilikuwa nimevaa nguo kabisa ,kuna uchi nimeonesha pale?
إرسال تعليق