Katika
tukio lisilo la kawaida ambapo kituo cha Matangazo cha ITV kiliandaa
mjadala wa kujadili hali ya kisiasa nchini na masuala mbalimbali ya
kitaifa ambapo kwa busara za watendaji wa ITV waliwaalika wasemaji wakuu
wa mjadala huo kuwa Viongozi waandamizi wa Vyama vya Siasa wakianza na
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdulrahaman Kinana na
Katibu Mkuu wa CDM Ndugu Slaa.
Kutokana na hudhuri wa Katibu
Mkuu wa CCM, Ndugu Kinana ambapo amesafiri kuelekea Dodoma kwenda
kuhudhuria kikao cha kamati kuu jana na kubanwa na majukumu mengine
muhimu ya kichama na kitaifa, alimuagiza Katibu wa Itikadi na Uenezi
CCM, ndugu Nape Nnauye kumuwakilisha katika mjadala huo wa viongozi wa
vyama vya siasa katika kujadili hali ya kisiasa na mustakabali wan chi
yetu.
Baada ya kufika katika Ofisi za ITV zilizopo mikocheni
asubuhi ya Leo,
إرسال تعليق