Kuhamia digital:hizi ndio pupa tulizokataa, mkalazimisha.

Kama kuna suala lililofanywa kwa pupa bila maandaliz na kujal maslah mapana ya upatikanaj wa habar kwa jamii ya Tanzania, bas ni hil la kukimbilia kuzima mitambo ya analog.. ona hii text kutoka moja ya kingamuz cha walalahoi hapa tzania...'kutokana na matakwa ya Startv, tumeamua kuitoa kwenye channel zetu, kwa maelezo zaid wasiliana na star tv kwa namba 02825XXX.,,' naomba kuuliza, sasa inabid mtu uwe na vingamuz vingap ndan il uweze kuangalia habari walau kwa channel za nyumbani? vip ITV, Channel ten nao wajitoe? kila channel hapa tz na kingamuz chake, then? alaf mkiambiwa mtasema kuna mkono kutoka nje, n.k. mnashindwa kutunga sheria za kuwalazmisha watoa huduma kuweka channel za nyumbani hata kama nyingine zitalipiwa? mh. makamba tulikuaminia sana, au na wewe wamekuweka kwenye angleQ ?? fikiria sasa hiv nina vingamuz v2 cioni channel zote za hapa nchini.....vp huko mbele itakuwaje?? sa iv tunasubir mfunge line za cm!!!

Post a Comment

Previous Post Next Post