
Wasanii Masanja Mkandamizaji na Shilole wakikwea pipa kuelekea
Washington, DC kwenye sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na Tamasha la
Utamaduni wa Kiswahili Marekani litakalofanyika July 6, 2013 kuanzia saa
4 asubuhi (10:00 am) na Rais Mustaafu Ali Hassan Mwinyi ndiye
atakayekua mgeni wa rasmi. Mhe. Ali Hassan Mwinyi anatarajiwa kufika
Washington, DC siku ya Alhamisi July 4, 2013.
إرسال تعليق