Mbunge Nassari anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Selian Arusha baada ya kushambuliwa vikali na watu wenye marungu,sime ambapo ameumia kifua, shingo na Mgongo....alijinasua hapo baada ya kuwachomoka na kuonyesha silaha nakuweza kuondoka eneo hilo.
Credit to Dj Seki
إرسال تعليق