Ben Pol Asema hata akilipwa milioni 800 hawezi kuperform kwenye chama chochote cha siasa,msikilize hapa



Kufuatia upepo wa wasanii wa muziki hivi sasa kuonyesha ama kuweka wazi mapenzi yao na vyama vya siasa na wengine kujiunga kabisa na vyama hivi hapa nchini, Hali imekuwa tofauti kabisa kwa msanii Ben Pol ambaye ameapa kuwa hawezi kushiriki wala kupigia debe chama chochote katika shughuli zake.

Hii ndiyo tweet aliyoweka Ben Pol leo kuhusiana na hili;

Msikilize hapa



Post a Comment

Previous Post Next Post