Huddah Monroe apost picha ya Diamond Platnumz ‘akioga’ na kuandika

bf610aa8eb9311e2b9a022000a1fa535_7Unakumbuka kwenye interview aliyofanya na Bongo5, mrembo wa Kenya Huddah Monroe alikiri kuupenda muziki wa Diamond? Basi huenda model huyo aliyeiwakilisha Kenya mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa aka The Chase anazidi kukoma na swagga za mtoto wa Mbagala Nasib Abdul aka Rais wa Wasafi!
Leo kwenye Instagram, Huddah amepost picha ya Diamond akiogelea na kuandika: ‘This nigga Diamond Platnumz..badder than most….Better a Diamond with Flaws than a pebble without one….’
Mhhhhhh!!

Post a Comment

Previous Post Next Post