NELSON MANDELA KURUSIWA KURUDI NYUMBANI SIKU CHACHE ZIJAZO


Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Thabo Mbeki amesema Nelson Mandela yupo karibuni kupelekwa nyumbani baada ya kulazwa zaida ya mwezi kwenye hospitali ya Pretoria.
“Nelson Mandela ana moyo wa kijana mwenye miaka kumi” Thabo Mbeki alisema. Grandson Ndaba Mandela, 30, told The Sun that Mr Mandela was doing well despite still being on a life-support machine.
Nelson Mandela atasherekea siku ya kuzaliwa na kutimiza miaka 95 siku ya alihamisi tarehe 18/jully.

Post a Comment

Previous Post Next Post