Simba
sports Club ya Dar es Salaam imefanikiwa kumsajili mfungaji bora wa
michuano ya Kagame Cup 2013 Hamis Tambwe kutokea Vital O ya Burundi kwa
kumpa mkataba wa miaka miwili July 12 2013 kuanza kuwatumikia wekundu
hao wa Msimbazi kwa mujibu wa shaffihdauda.com
Tambwe mbele ya mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba.
إرسال تعليق