WANAFUNZI WA LUTHERAN JUNIOR SEMINARY WAFANYA MAANDAMANO HADI KWA ASKOFU WA KKKT MOROGORO WAKIMTAKA KUMUONDOA NAFASI MKUU WA SHULE.


Sehemu ya wanafunzi wakiwa na bango lenye moja ya ujumbe wakati katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) asubuhi ya leo.
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Junior Seminari wakiwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wakimsikiliza Askofu wa Kanisa hilo, Jacob Mameo Ole Paulo (hayupo pichani) mara baada ya jumla ya wanafunzi 600 wa kidato cha kwan
za hadi sita kufanya maandamano yaliyoanzia shuleni hadi ofisi za askofu yaliyoanza majira ya saa 12 asubuhi wakimtaka kumuondoa kazini mkuu wa shule hiyo kwa madai mbalimbali....
 habari zaidi endelea kutembelea hapa tutaleta kwa kina zaidi 

 Picha kwa Hisani ya mdau Juma mtanda

Post a Comment

Previous Post Next Post