AIRTEL YATOA CHAKULA CHA FUTARI NA IDDI KWA YATIMA DAR

Afisa mauzo wa Airtel, Bw Salehe Safi akimkabidhi Bibi Saada Omary moja ya zawadi zilizotolewa na kampuni za simu za mkononi ya Airtel kwenye kituo cha watoto yatima kinachofahamika kwa jina la Mwana Orphanage Center kilichopo Vingunguti jijini Dar es salaam. AIRTEL ilitoa sukari, mchele, mafuta, sabuni, maziwa na Unga wa ngano kwaajili ya kumalizia mwezi wa Ramadhani na kusheherekea sikukuu ya IDDI

Post a Comment

Previous Post Next Post