Raisi wa marekani Barack Obama amesema katika interview iliyoruka siku
ya jumanne kuwa alitokwa na machozi wakati alipokuwa akiangalia movie
mpya ya Lee Daniels "The Butler", Movie inayomhusu mtumishi mweusi (White house) ambae alifanya kazi kwa maraisi 7 kadhaa.
nilitokwa na machozi nikifikiria sio tu kuhusu mtumishi aliekuwa akifanya kazi hapa ikulu, lakini
kizazi chote cha watu ambao walikuwa wenye vipaji na wenye ujuzi Lakini
kwa sababu ya Jim Crow na kwa sababu ya ubaguzi., hawakuweza kufika
mbali ," Rais alimwambia mtangazaji wa redio "Tom Joyner", katika
interbiew hiyo iliyofanyika Ikulu.
"Na bado kwa hadhi na mshikamano, Wakaamka na kufanya kazi kila siku na kukabiliana na kila aina ya fujo kwa sababu walitumaini mazuri kwa ajili ya watoto wao." aliongezea Obama
Raisi Obama pia amesema sehem iliyomfurahisha katika movie hiyo ni wakati muigizaji Cuba Gooding Jr alipokuwa akitoa vichekesho lakini alisisitiza ni vichekesho ambavyo maneno yake hawezi kuyarudia redioni, pia amewasifia sana waigizaji Forest Whitaker pamoja na Oprah Winfrey.
"I thought Forest Whitaker was wonderful," Obama said. "And Oprah, my girl, she can act. She's just a wonderful actress, so I'm glad they did it." amesema Obama
"Na bado kwa hadhi na mshikamano, Wakaamka na kufanya kazi kila siku na kukabiliana na kila aina ya fujo kwa sababu walitumaini mazuri kwa ajili ya watoto wao." aliongezea Obama
Raisi Obama pia amesema sehem iliyomfurahisha katika movie hiyo ni wakati muigizaji Cuba Gooding Jr alipokuwa akitoa vichekesho lakini alisisitiza ni vichekesho ambavyo maneno yake hawezi kuyarudia redioni, pia amewasifia sana waigizaji Forest Whitaker pamoja na Oprah Winfrey.
"I thought Forest Whitaker was wonderful," Obama said. "And Oprah, my girl, she can act. She's just a wonderful actress, so I'm glad they did it." amesema Obama
Post a Comment