Meneja
Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga (kulia) akimkabidhi ufunguo wa Bajaji
mshindi wa droo ya tatu wa promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ Bw.
Khalid Shabani katika hafla iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini
Dar es Salaam.
Mshindi
wa promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ Bw. Sande Juma (kushoto)
akipokea ufunguo wake wa Bajaji kwa furaha kutoka kwa Meneja Chapa wa
Tigo Bw. William Mpinga katika hafla iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta
jijini Dar es Salaam.
Washindi
wa droo ya tatu wa promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ (kutoka
kushoto) Bw. Sande Juma, Tito Mkude na Iddi Zonki wakikagua Bajaji
walizokabidhiwa kutoka kwa kampuni hiyo ya simu katika hafla
iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini Dar es Salaam.
Washindi
wa promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ wakijaribu kwa furaha moja
ya Bajaji zilizokabidhiwa na kampuni ya simu ya Tigo katika hafla
iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini Dar es Salaam.
Meneja
Chapa wa Tigo, Bw. William Mpinga akihojiwa na Waandishi wa Habari
katika hafla ya makabidhiano ya washindi wa promosheni ‘Miliki Biashara
Yako’ iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini Dar es Salaam.
Washindi
wa droo ya tatu ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ wakipozi mbele ya
Bajaji zao walizokabidhiwa na kampuni ya simu ya Tigo katika hafla
iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini Dar es Salaam.
Post a Comment