Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania wafunguka leo jijini dar.

 Msemaji wa Wakala wa Huduma za Ajira Bw. Peter Ugata (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu jitihada zinazofanywa na wakala hao katika kuhakikisha wanakabiliana na changamoto za ajira nchini, katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam, KUSHOTO ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari Bi. Zamaradi Kawawa.
Mratibu wa Huduma za Ajira kutoka Wakala wa Huduma za Ajira Bw.Joseph Haule akijibu swali kutoka kwa waandishi wa habari(hawamo pichani) waliotaka kujua ni mafanikio gani wakala hao wamepata tangu kuzinduliwa rasmi mwaka 2008,katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Elphace Marwa

Post a Comment

أحدث أقدم