Wakuu poleni n a
majukumu yetu ya kila.
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji
Joseph S. Warioba atafanya mkutano na Waandishi wa Vyombo vya Habari
kuzungumzia maendeleo ya kazi za Tume, siku ya kesho Alhamisi, Septemba 26,
2013 katika Ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 4:00 asubuhi na
kuendelea.
Post a Comment