JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN AFUNGUA MAFUNZO YA MAHAKIMU WAKAZI JIJINI DAR ES SALAAM

  Mh. Jaji Mkuu  wa Jamhuri ya Muunngano wa Tanzania Mohamed Chande Othuman  akiwaasa Hakimu Wakazi alipokuwa anafungua mafunzo ya mahakimu hao yaliyoandaliwa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kushirikiana na Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Afrika Mashariki inayoendelea jana katika hoteli ya Holiday Inn jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu wa Masuala ya Utawala bora wa UNDP Tanzania Grainne Kilcullen akiwaasa Mahakimu Wakazi wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya haki za binadamu na utoaji wa haki yanayofanyika katika hoteli ya Holoday Inn Jana jijini Dar es Salaam.
Mweyekiti wa Tume za Haki za Binadamu akionea na baadhi ya waandishi wa habari mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya haki za binadamu na utoaji wa haki  kwa mahakimu wakazi yanayofanyika katika hoteli ya Holoday Inn jana jijini Dar es Salaam.Picha zote na Eleuteri Mangi -MAELEZO
  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Heshima wa Tanzania jijini San FranciscoMh.Ahmed Issa,(wapili kushoto) muda mfupi baada ya kufungua ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini San Francisco nchini Marekani  jana jioni.Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula na kulia ni mke wa balozi Ahmed Mama Sherry julin Issa.
  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi ofisi ya ubalozi wa heshima(Honorary Consulate) wa Tanzania jijini San Francisco nchini Marekani jana jioni.Kulia ni Balozi wa heshima wa Tanzania jijini San Francisco Mh.Ahmed Issa na kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh. Liberata Mulamula na wapili kushoto ni Mke wa Balozi Mama Sherry Julin Issa.

 Rais Dkt.Jakaya MrishoKikwete akizungumza na baadhi ya Watanzania waishio jijini San Francisco Marekani jana jioni.Rais Kikwete yupo nchini Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine atahutubia kikao cha 68 cha Umoja wa Mataifa Jijini New York Marekani.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya Watanzania waishio jijini San Francisco Marekani muda mfupi baadaya kufungua ubalozi wa heshima wa Tanzania na kuzungumza nao jana jioni.Picha na Freddy Maro-IKULU

Post a Comment

أحدث أقدم