Watoto
na wazazi wakifuatilia kwa umakini uzinduzi wa “JJ Ubongo Kids” kwenye
screen kubwa iliyopo kwenye ukumbi wa Century Cinemax.
Watoto wa shule ya Academics, wakicheza kwa furaha na mmoja wa wahusika wa ‘JJ Ubongo Kids” ajulikanae kama “Juniour Jumbo”.
Watoto
wa shule ya Academics, wakicheza kwa furaha na mmoja wa wahusika wa ‘JJ
Ubongo Kids” ajulikanae kwa jina la mama ndege, wakati wa uzinduzi wa
kipindi hicho.
Benki
ya CRDB kwa kushirikiana na kampuni ya UBONGO Media, wameanzisha
kipindi cha ” JJ Ubongo Kids” chenye nia ya kuboresha uelewa wa
wanafunzi kwenye somo la hisabati. Kipindi hiki kitakuwa kikirushwa
kupitia televisheni ya taifa TBC1 kila siku za Jumamosi Saa 3 asubuhi
na marudio Jumapili Saa 3 asubuhi TBC1 na kitakuwa kikitumia mfumo wa
katuni.
Post a Comment