UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KIEMBE SAMAKI ZANZIBAR

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimtambulisha mgombea wa Uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki CCM Mahamoud Thabit Kombo kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Uwakilishi wa Jimbo hilo uliofanyika leo 22 Januari 2014 katika uwanja wa Tawi la CCM Kiembe samaki.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Ilani Katiba na Sera ya CCM mgombea wa Uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki CCM Mahamoud Thabit Kombo kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Uwakilishi wa Jimbo hilo uliofanyika leo 22 Januari 2014 katika uwanja wa Tawi la CCM Kiembe samaki.

  Wananchi na Wanachama wa CCM Zanzibar wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, alipokua  akihutubia kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Uwakilishi wa Jimbo hilo uliofanyika jana jioni 22 Januari 2014 katika uwanja wa Tawi la CCM Kiembe samaki.

 Mfalme wa Taarab Mzee Yusssuf na Mgombea Uwakilishi jimbo la KiembeSamaki CCM Mahamoud Thabit kombo wakitoa burudani kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Uwakilishi Jimbo hilo uliofanyika jana jioni 22 Januari 2014 katika uwanja wa Tawi la CCM Kiembe samaki. 
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai  akihutubia wananchi na wanachama wa CCM kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Uwakilishi wa Jimbo hilo uliofanyika jana jioni 22 Januari 2014 katika uwanja wa Tawi la CCM Kiembe samaki.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wananchi na wanachama wa CCM kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Uwakilishi wa Jimbo hilo uliofanyika jana jioni 22 Januari 2014 katika uwanja wa Tawi la CCM Kiembe samaki.(Picha na OMR)

Post a Comment

Previous Post Next Post