January Makamba nae ahojiwa na kamati ndogo ya Maadili

 Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Ndugu January Makamba akizungumza na waandishi wa habari nje ya Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi baada ya kuhojiwa zaidi ya saa moja na nusu na Kamati Ndogo ya Maadili. 

 Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Ndugu January Makamba akiondoka nje ya ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi baada ya kumaliza kuhojiwa kwa  zaidi ya saa moja na nusu na Kamati Ndogo ya Maadili.Picha na Adam Mzee

Post a Comment

أحدث أقدم