Mwenyekiti
wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya
Mrisho Kikwete akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma tayari
kuongoza kikao cha NEC kilichoanza jioni ya jana mjini Dodoma.
Mwenyekiti
wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya
Mrisho Kikwete akisalimiana na Viongozi wa CCM Mkoa wa Dodoma mara tu
alipowasili kwenye uwanja wa ndege mjini Dodoma.
Mwenyekiti
wa CCM Taifa Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia ngoma ya asili kutoka
kikundi cha ngoma cha mkoa wa Dodoma wakati wa mapokezi kwenye uwanja wa
ndege wa Dodoma,Mwenyekiti wa CCM Taifa



إرسال تعليق