![]() |
Diamond akiwa na Bab Tale tayari kwa safari yao |
Wiki iliyopita Diamond Platnumz alisema anatarajia kusafiri kwenda nchini Nigeria (March 30) kwaajili ya kufanya video ya wimbo wake mpya aliofanya collabo na mastaa wa huko.
Usiku wa kuamkia leo Platnumz amepost picha Instagram akiwa
ameongozana na meneja wake Bab Tale wa Tip Top Connection, wakiwa
uwanja wa ndege JNIA tayari kwa safari yao ya Lagos.

Hivi karibuni hit maker huyo wa ‘Number 1’ alisema mbali na kushoot
video, kitu kingine anachoenda kukifanya Nigeria ni pamoja na kufanya
collabo zaidi na wasanii wa huko kwa lengo la kuliteka soko la Afrika
kwa ujumla.
Post a Comment