Ikiwa
 ni wiki kadhaa tangu itoke video ya Msambinungwa ya Tunda Man ambayo 
ilisemekana imefanyika nje ya nchi,miongoni mwa watu walioikamilisha 
hiyo video ambaye pia ni mmiliki wa studio iliyopo Sinza ameibuka na 
kusema Tunda amekimbia na deni lake,Soud Brown ana-amplify taarifa hizi.
Bonyeza play kusikiliza.
إرسال تعليق