Waziri
wa Maji Prof. Jumanne Mghembe akiongea na wandishi wa wa habari (hawapo
pichani) kuhusu mandalizi ya wiki ya maji ambayo kitaifa yatafanyika
mkoani Dodoma kushoto kwake ni mwenyekiti wa Kamati ya Maadhimisho
Kitaifa Injinia AMANI MAFURU, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Wizara ya
Maji NURDIN NDIMBE.
Msimamizi
wa Mradi wa Visima wa uchimbaji Visima katika eneo la MZAKWE, Bwana
METHOD ILAMULIRA, kutoka Kampuni ya DON CONSULTANT akimuonyesha Afisa
Habari wa Mamlaka ya Maji mjini Dodoma, DUWASA, SEBASTIAN WARIOBA jinsi
Uchimbaji wa Maji unavyofanyika kupitia Visima virefu. ambavyo
vinatarajiwa kuondoa tatizo la maji katika mkoa wa Dodoma.(picha na Chis
Mfinanga).



إرسال تعليق