
Akihojiwa na kituo cha NBC’s Elton alisema ” Tutafanya ndoa yetu kimya kimya” Wapenzi hao ambao wamejaariwa kupata watoto wawili pamoja katika uhusiano wao wanatarajiwa kufunga ndoa yao mwezi wa 5 huko England. Ndoa ambayo itakua ni ya kiserikali na mashahidi wataohudhuria ni watoto wao wawili pamoja na mashahidi wachache. Hiyo ni kwa mujibu wa maneno ya ELton
إرسال تعليق