Msanii mwenye jina kubwa kwenye tasnia ya filamu bongo Wastara Juma
amaesema yupo tayari kuolewa na kuishi na mwanaume yoyote atakae jaliwa
na mungu lakini ole wake anaetishia kuwa atakaemuoa atakufa atambue yeye
sio mungu na dunia wote tunapita hivyo ahache vitisho visivyokuwa na
maana
Akifunguka kiafrika bila hofu yoyote amesema anaamini kila jambo linatokea ni mipango ya mungu na kwamba hakuna wakumtisha hapa chini ya jua maana wote tumeumbwa na mungu na kwake tutalejea
“Hakuna wakunitisha mimi namuogopa mungu tu maana ndio ananipa pumzi lakini sio binadamu mwenzangu natamka rasmi nipo tayari kuolewa na yeyote titakaependana nae na hakuna aja ya kuogopa vitisho vya mtu
Akifunguka kiafrika bila hofu yoyote amesema anaamini kila jambo linatokea ni mipango ya mungu na kwamba hakuna wakumtisha hapa chini ya jua maana wote tumeumbwa na mungu na kwake tutalejea
“Hakuna wakunitisha mimi namuogopa mungu tu maana ndio ananipa pumzi lakini sio binadamu mwenzangu natamka rasmi nipo tayari kuolewa na yeyote titakaependana nae na hakuna aja ya kuogopa vitisho vya mtu

إرسال تعليق