G-Nako, Grace Matata, Damian Soul kumsidikiza Hisia katika ‘Usiku wa Hisia’ Bilicanas, Jumapili hii .

IMG-20140429-WA0001

Mshindi wa nafasi ya nne kwenye shindano la mwaka jana la Tusker Project Fame, Elisha Hisia, atakuwa na show iliyopewa jina la ‘Usiku wa Hisia’ Jumapili hii kwenye ukumbi wa Club Bilicanas. Hisia atasindikizwa na wasanii wengine wakiwemo Grace Matata, G-Nako, Damian Soul na wengine.
Hisia ameiambia Bongo5 kuwa siku hiyo ataimba muziki wa live kuanzia soul, rnb, reggae hadi hip hop. “Good music for good people,” amesema.

Post a Comment

Previous Post Next Post