Kutoka Instagram Picha: Walichopost mastaa wa Bongo kwenye Instagram jana na leo
Hisia0
Tazama baadhi ya picha walizopost mastaa wa Tanzania kwenye Instagram, Ijumaa hii na Alhamis hii. Nay ameandika: Ma#director wa #kike hao apo…#Thailand+#India
Wanaongoza #team ya wa2 zaidi ya 20 kwny kampuni,,, na kazi yao ni c
yakitoto…#966 Wanawake #wakitanzania amkeni nina imani #mnaweza.. msiwe
tegemezi eti uolewe uwe mwanamke goli kipa#utanyanyacka #wake#up #mamaz…
#wanawake #mnaweza #nawapenda wanawake wt wanaojituma..#tanzania
(nimemic home sweet home) made in #tanzania #966 #money #makersPenny ameandika: I luv being in front if the cam Penny ameandika: And voice overs….#stillworking..no lunch for me.. Dj Choka Barnaba na Vanessa Mdee akiwa Bangkok, Thailand Barnaba ameandika: Am in – 28 Floo… $ if u like.. Wellcome …but..! Ommy Dimpoz Mwana FA alipokuwa Dubai Irene Paul Marco Chali na AY (aliyeshika simu) Brigitte Alfred Hamisa Mobeto Profesa Jay na Lil Ommy wa Times FM Wakazi
إرسال تعليق