
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Muziki wa dansi Bwana Brighton akimshukuru Rais Kikwete kwa kwenda kutoa pole ya msiba huo

Mmoja wa wana familia Bw. Salim Zagar akitoa taarifa fupi ya msiba pamoja na mazishi kwa Mhe Rais

Sehemu ya waombolezaji

Rais
Dk Jakaya Mrisho Kikwete Bw. Omar Muhidin Maalim Gurumo na wanafamilia
alipokwenda kuhani msimba huo Ubungo Makuburi jioni ya leo April 15,
2014,

Rais
Dk Jakaya Mrisho Kikwete pole Bw. Abdallah Muhidin Gurumo, mtoto wa
marehemu Muhidin Maalim Gurumo na wanafamilia alipokwenda kuhani msimba
huo Ubungo Makuburi jioni ya leo April 15, 2014,

Rais
Dk Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mjane wa marehemu Muhidin Maalim
Gurumo (mwenye shuka nyeupe) na wanafamilia alipokwenda kuhani msimba
huo Ubungo Makuburi jioni ya leo April 15, 2014, siku ambayo marehemu
alizikwa kijijini kwao Masaki, Kisarawe, Mkoa wa Pwani.
Post a Comment