Single mpya ya TID inaitwa Chumvini!! Kamshirikisha Jay Moe

ceaabdfec55111e394610002c9559a9a_8Top in Dar aka Mnyama anatarajia kuachia single mpya aliyomshirikisha Jay Moe. Single hiyo ambayo itatoka Ijumaa hii inaitwa ‘Chumvini’.
Hivi karibuni muimbaji huyo mkongwe na kiongozi wa Top Band ambaye jina lake halisi ni Khalid Mohamed, aliachia video mbili kwa mpigo ikiwemo ya wimbo alimshirikisha Profesa Jay ‘Raha’.

Post a Comment

أحدث أقدم