
Unaambiwa wameamua kufanya hivi ikiwa ni maandalizi ya kumlaki
nabii Daktari Awuor kwa ajili ya maombi ya leo na siku ya Jumatatu
kuadhimisha pasaka na kumshukuru jehova kwa kuwasaidia jiji la Eldoret
kufanyika uchaguzi wa amani mwaka 2013
Hata hivyo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii maoni yalikotolewa
na Wakenya kuhusu hii ishu, maoni mengi yameonekana kupinga kitendo cha
waumini hao wa kanisa la Jesus is lord kwa kumpa Daktari Awuor heshima
kupita kiasi.
إرسال تعليق