MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi Liami wilayani Ifakara
mkoani Morogoro (jina limehifadhiwa), amebakwa na watu wasiojulikana
alfajiri ya Mei 5, mwaka huu nyumbani kwa bibi yake.
Mwanafunzi ambaye jina lake limehifadhiwa akiwa hoi hospitali baada ya kubakwa.
Akizungumza na gazeti hili, mama wa binti huyo mwenye umri wa miaka
13, Neema Ally akiwa wodi A ya watoto katika Hospitali ya Taifa
Muhimbili alisema ___ Bofya Hapa Kuendelea Kusoma
Mwanafunzi ambaye jina lake limehifadhiwa akiwa hoi hospitali baada ya kubakwa.
إرسال تعليق