Mamlaka za nchini China zimegoma kuruhusu kuzinduliwa kwa filamu
ya Noah iliyochezwa na Russell Crowe, ambayo tayari imepigwa marufuku
katika nchi za kiislamu.
Filamu hiyo imekatwa kuoneshwa katika nchi za Bahrain, Indonesia,
Malaysia, Qatar na kwingine. Hata hivyo inasemekana kuwa kukatazwa
kuzinduliwa kwa filamu hiyo nchini China ni kwasababu za kibiashara
kwakuwa filamu zingine kama Godzilla zitazinduliwa hivi karibuni.

Post a Comment