Mwanamuziki makubwa hapa Afrika Mashariki, Nyota Ndogo kutoka nchini
Kenya amejikuta katika wakati mugumu baada ya kugundua kuwa amerekodiwa
video kwa siri wakati yupo chumbani anapaka mafuta huku akiwa MTUPU. Hii
ilitokea baadaa kumaliza KUPAFOMU na kupelekwa CHANGING ROOM ambako
ndiko video hii ilichukuliwa kwa siri.
Post a Comment