Wasanii na Global Publishers, wacheza Mechi Kumkumbuka “NGWEAR”
Hisia0
Wasanii wa BongoFlava nchini akiwemo msanii wa hip hop Jay Mo, siku
ya leo Ijumaa waliingia ulingo wa viwanja vya Posta Jioni hii kuzichapa
na kitivo cha habari cha Global Publishers.
Post a Comment