Huyu Ndio Msanii wa R&B wa Marekani akakaye tumbuiza kwenye tuzo za MTV Africa

MTV Base imemweka wazi msanii wa R’n’B wa Marekani, Miguel kuwa ataungana na mastaa wa Afrika watakaotumbuiza kwenye MTV Africa Music Awards 2014 (MAMA).
Miguel-cant-sleep-together-karen-civil-music
Tuzo hizo zitafanyika Jumamosi ya June, Durban, KwaZulu-Natal, nchini Afrika Kusini na kurushwa live kupitia MTV Base na MTV. Wasanii wengine watakaotumbuiza ni Mafikizolo, Flavour, Tiwa Savage, Davido na Professor.

Post a Comment

أحدث أقدم