
‘Mi Casa’ Band kutoka SOUTH AFRICA inatua jijini Leo kwa ajili ya show ya ‘MTV Road To Mama’ itakayofanyika Leo hii Club Billicanas kuwapongeza wasanii walioingia kwenye nomination ya MTV Afrika. Show hii ambayo imeandaliwa na MTV wenyewe ni kwa ajili ya kusherehekea Nomination ya wasanii Wa East Africa ambao baadhi yao watafanya show usiku huo. Double MTV Awards Nominee and a BET Awards Nominee “Diamond Platnumz” ambae nae anatarajiwa kuingia nchini Leo kutoka nchini UK alipokua anafanya Video ya nyimbo yake mpya.

Cha kushangaza ni kwamba __________
SOMA ZAIDI KWA KUBOFYA HAPA
إرسال تعليق