KANSIIME ANNE, asaliti Marafiki zake - VIDEO

Kansiime_anne_00
Msanii kutoka nchini Uganda ‘Kansiime Anne’ maarufu kwa uchekeshaji katika video clips nyingi ambazo tutembea sana kwenye youtube na mitandao ya kijamii,  msanii huyo kashangaza watu baada ya kumsaliti rafiki yake na kwenda kumshtaki kituoni, kwa dau la shilling 100,000. Vile vile inasemekana sio huyo tu, kuna wengine zaidi ambao msanii huyo amewahi kuwafanyia hivyo kitu ambacho sio kizuri na kibaya zaidi alipokutana na rafiki huyo bila hata ya kuomba samahani kwa kufanya hivyo, alimuuliza kwa mshangao, “Kwanini haupo gerezani, ulitakiwa huwe gerezani” kitu ambacho hakuona haya kusema. angalia video ilivokua.



Kansiime_anne_00kansiime-anne-fan-app-2-1-s-307x512

Post a Comment

Previous Post Next Post