Solange Knowles kuandika kitabu, UZINZI wa JAY Z, Mimba FAKE ya BEYONCE na Mengi Zaidi!

Beyonce+Knowles+Solange+Knowles+2BhpoRow6Gvm
May 22, 2014: Kulingana na gazeti la ‘Weeks’, Solange yupo mbioni kuandika kitabu “TELL ALL BOOK” na anategemea kupata kiasi cha $20M. Inasemekana Jay Z ni mtu ambae alikuwa anamdhalilisha, anamdanganya sana Beyonce, na kikweli Beyonce hakuwa na mimba. Solange ameweza kueleza yote hayo kuhusiana na familia hiyo na amesema amechoka sana kuigiza kama mtoto wa pili kwa Beyonce 32, na sababu hiyo yupo tayari kufichua siri zote kwa baba yao kuhusu jinsi Beyonce anavyokuwa kipofu juu ya umalaya wa Jay Z. Inasemekana katika hiyo familia ya Knowles, Beyonce anapendelewa kama dhahabu wakati Solange anaekwa chini na sasa amechoka na yuko tayari kulipiza kisasi  kwa Jay Z.
Jay-Z_07-10-2013

Post a Comment

Previous Post Next Post