Chatu mkubwa alieuwawa Sakina Arusha, mama mwenye nyumba alidai ni mtoto wake asiuwawe

Wakazi wa eneo la Sakina mkoani arusha jana walipatwa na mshtuko mkubwa bada ya kuona chatu akiwa anaingia ndani ya nyuma ya jirani yao huku akiwa amefungwa kitambaa kilichokuwa na maandishi mekundu yasiyoeleweka mkiani mwake
wakazi hao wakaanza kumvizia chatu huyo na kutaka kumpiga lakini utata ukaibuka baada ya kudaiwa mama mwenye nyumba hiyo kusema wasimuue kwani ni mtoto wake,Lakini majirani hao hawakukubali ndipo walimkamata na kumuua kwa kumkata kata viapande.


Kitambaa chenye maandishi mekundu kilichokuwa kimefungwa mkiani kwa nyoka huyo

Chatu akiwa amekatwa katwa vipande baada ya kuwawa

Post a Comment

Previous Post Next Post