|
Mwenyekiti
wa chama cha Boda boda na Bajaji Iringa mjini Joseph Mwambope
akiongoza zoezi la upigaji kura za wazi kuamua kwenda kuzika ama
kutokwenda leo ambapo wengi waliunga mkono kwenda na kulazimika kukataa
msimamo wa familia ambao ulitaka waishie nyumbani eneo la Frelimo
|
|
Waombolezaji madereva boda boda wakiwa wameubeba mwili wa mwenzao Frank Luvanga aliyezikwa leo kijiji cha Mkaa kata ya Ifunda. |
Marehemu enzi za uhai wake (francisblog) |
Post a Comment