GARI LA NICE & amp; LOVELY MISS TANGA LATUA MKONGE HOTEL

20140531_095629 
Gari ambalo atakabidhiwa mshindi wa shindano kubwa nala kipekee linalosubiriwa kwa hamu na wakazi wa mkoa wa Tanga, Nice & Lovely Miss Tanga 2014 tayari limepelekwa mkoani humo na sasa lipo katika maegesho ya magari katika hotel ya Mkonge. 
Mkurugenzi wa kampuni ya Mac D Promotion ambao ndio waandaaji wa shindano hilo, Irene Rweyunga amesema mwaka huu wampaniakuhakikisha wanapata washiriki wenye sifa na viwango lengo likiwa ni kuhakikisha mshindi anakuja kutwaa taji la Redds Miss Tanzania mwaka huu.  
Irene amesema mwish wa kuchukua na kurudisha fomu za kuhiriki shindano hilo ni jumampili hii ya tarehe 08 June 2014, na kambi rasmi itaanza jumatatu ya tarehe 09 June 2014 katika hotel ya Tanga Beach Resort.
 
Shindano la Nice & Lovely Miss Tanga litafanyika June 21′ 2014 katika Hotel ya Mkonge. Wadamini waliodhamini shindano hili ni Nice & Lovely, Eatv, Redds, Breeze Fm, Tanga Beach Resort, Mwambao Fm na Rweyunga Blog

Post a Comment

أحدث أقدم