Hiki Ndicho Alichokisema Profesa Jay Baada ya Diamond Kukosa tuzo za MTV MAMA

Diamond Platinumz alikuwa mshiriki kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za MTV MAMA mwaka huu na kwa bahati mbaya hakushinda tuzo katika vipengele vyote viwili. Alivyokuwa akiwania.
profesa Jay TZMsanii mkongwe Profesa Jay ambaye anakumbukwa kwa kufanya mapinduzi kwenye muziki na kuwashawishi wazazi kuwaruhusu watoto wao kuimba kupitia kazi zake, amemuandikia ujumbe Diamond kupitia Instagram hiki ndicho alichokiandika ___ Bofya Hapa Kusoma

Post a Comment

Previous Post Next Post