Macho
na masikio ya Watanzania wengi kwa siku ya Jumamosi June 07 yote
yalielekezwa Durban Afrika Kusini sehemu ambako zilikua zikitolewa tuzo
za wateule wa MTV Afrika Music Award ‘MAMA’.
Furaha tuliyokuwa nayo Watanzania ilikua kubwa baada ya kuona kijana
kutoka nyumbani Tanzania kuwa ni miongoni mwa vijana wanaochuana kwenye
tuzo hizo tena akiwa vipengele viwili,ingawa bahati haikua njema kwa
Diamond kwani hakufanikiwa kupata.

إرسال تعليق