HIVI NDIVYO MAMA REGINA LOWASSA ALIVYOSHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA KUZALIWA KWAKE LEO


Mke wa Waziri Mkuu Msaafu (Mh. Edward Lowassa),Mama Regina Lowassa (kushoto) akimsikiliza kwa makini Dada yake mkubwa wakati akizungumza machache kwenye hafla fupi ya kusherehekea kuadhimisha miaka 60 ya kuzaliwa kwake iliyofanyika leo nyumbani kwake,Masaki jijini Dar es salaam.
Mama Regina Lowassa akipokea zawadi ya Kitabu kutoka kwa mmoja wa Marafiki zake waliohudhulia hafla hiyo.
Wajukuu wakimpongeza Bibi yao.
Mmoja wa wajukuu akitoa burudani.

Post a Comment

أحدث أقدم