Hivi Ndivyo Watanzania walivyouaga mwili wa marehemu GEOGRE TYSON, picha 67 hadi Airport ziko hapa

IMG_4491
Mchana wa leo mamia ya Watanzania walifurika katika viwanja vya Leaders Club kuuaga mwili wa Directer Geogre Tyson aliyeaga dunia Ijumaa iliyopita maeneo ya Gairo kwa ajali mbaya ya gari. Pichani ni Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Sadik M. Sadik akizungumza na wafiwa pamoja na waombolezaji waliofika katika viwanja hivyo.
IMG_4494
Pichani kuanzia kushoto ni Mama mzazi wa Mboni Masimba halafu Mboni mwenyewe pamoja na mtoto wa marehemu anaitwa Sonia akiwa na mama yake Monalisa.

Post a Comment

Previous Post Next Post