Kenyan Actor, aliefanya FILM ya IDI AMIN ‘Joseph Olita’ afariki Dunia.

josep
Veteran Kenyan actor ‘Joseph Olita’ aliyejulikana sana toka kwenye filamu ya ‘Rise and Fall of Idi Amin’ amefariki dunia. Olita amefariki baada ya kupandwa na pressure (BP) wakati akiwa kijiji cha ‘Pap Oriang’ katika wilaya ya ‘Siaya’ nchini humo. Ndugu za marehemu wamesema Joseph alikuwa anasumbuliwa sana na “Blood Pressure (BP)” na ilianza kumpanda jumapili usiku isivyo kawaida mpaka kusababisha kifo chake.
Olita alikuwa ametoka kwenye mazishi ya mama yake mzazi jumamosi kabla ya kifo kumgeukia yeye. Mwili wa Olita umepekwa hospitali ya ‘Bama’ kwenye mortuary ili kusubiria mipango ya mazishi. Olita ameacha mke, watoto na wajukuu.
Joseph Olita alizaliwa 1944 na alikuwa maarufu sana baada ya kuigiza filamu ya dictator wa Uganda ‘Iddi Amin Dada’ katika filamu maarufu sana “Rise and Fall of Iddi Amin” iliyotoka mnamo mwaka 1981. Kwenye filamu ya ‘Mississipi Masala’ mwaka 1991 na filamu nyingine kama “Sheena” na nyinginezo nyingi.

josep

idiAmin_1614124c

Post a Comment

أحدث أقدم