MACHANGUDOA WA KINYARWANDA WATIWA MBARONI DODOMA




Wanawake wanne raia wa Rwanda wametiwa mbaroni mjini Dodoma kutokana na kuingia nchini kinyemela na kujihusisha na biashara ya ukahaba. 


Watuhumiwa  watatu kati ya hao, Saidat  Umotoni (28), Asha Abimana (25) na Asia Umotoni  Wase (30), hii ni mara yao ya pili kukamatwa mjini hapa wakidaiwa kujihusisha na biashara hiyo. 

Mara ya kwanza ilikuwa Novemba mwaka jana ambapo wote  ( Asia, Asha na Saidat) baada ya kukamatwa, walirudishwa kwao baada ya kulipa faini. 

Akizungumza na waandishi wa habari jana Kaimu Ofisa Uhamiaji Mkoa wa Dodoma,  Proches Kuoko, alimtaja mwingine aliyekamatwa ni SOMA ZAIDI HAPA

Post a Comment

أحدث أقدم