Mpya Kabisa!! Hiki ndicho Kilichosemwa na mmiliki wa nyumba aliyetoka Nyoka Arusha - Msikilize/Picha

Kilichosemwa na mmiliki wa nyumba aliyetoka Nyoka Arusha.

CHA2Mchana wa June 05 kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zilisambaa taarifa ambazo zilikua zikimhusu mmiliki wa mojawapo ya nyumba maeneo ya Sakina jijini Arusha kuhusu kufuga nyoka ambaye alihusishwa na imani za kishirikina.
Wananchi walimuua nyoka huyo na kisha kumkata kata vipande,leo tumepata xclusive interview na mmiliki wa nyumba hiyo ambaye kakubali kuelezea kila kitu anachokijua kuhusu nyoka huyo.
Huyu anaitwa Mr.Joseph Paschal Magesa ambaye anaanza kwa kusema>>Mimi kama mimi kwanza ni mkristo safi na___ SOMA ZAIDI KWA KUBOFYA HAPA.

Post a Comment

أحدث أقدم